top of page

Unabii 23 “Dunia, Sikuwapa Mushtara Muende Huko!”

Updated: Feb 22, 2021

Umepewa Nabii Hannah kwa Sifa, Heshima & Utukufu wa ELOHIM (MUNGU) Mbinguni


Umeandikwa 24 Februari, 2019




*Mushtara – ni sayari ya nne katika mfumo wa jua, iko baada ya Dunia




Ujumbe wa Kinabii


(BWANA YESHUA shiriki siri ZAKO nasi…)

Ee Nabii WANGU, tamanio la Moyo WANGU, Najua kile kimefichika moyoni mwako. Na sasa unauliza kuhusu WANGU. NItafunua kile kiko moyoni MWANGU siku hii. NInatamani kuosha, NInatamani kutakasa, Natamani kukomboa wanadamu wote, wanavyotamani. Lakini jinsi wachache [tu] wanaotaka kukombolewa siri zao zilizofichika! Wanaruhusu wale malaika walioanguka kuingia, na hawaNIruhusu MIMI. Ni nini chenye giza zaidi KWANGU MIMI kujua, Watoto wapendwa? Kwa hivyo kiri woga wako na wenzenu. MsiNIkosee, msikosee ROHO MTAKATIFU WANGU.

NIgeuzieni MIMI macho, YESHUA HAMASHIACH wenu. Dunia inatazama [kule] kupaa kwa mwengine, lakini hiyo si ya ROHO WANGU, lakini ya mpinga-kristo (‘unyakuzi’ wa Mwali wa Buluu). Wanatazama teknolojia za dunia na kuona kile Elon Musk anazindua. Kuelekea Mushtara? Ni nini hiyo? Hakuna chochote cha kuvumbua kwenu [kwenye Mushtara] ila utupu na virusi. SIruhusu mwanadamu kuenda kwenye Mushtara! Sio mpaka wenu NImewawekea. Sio.

Na hakutakuja kuwa bora, dunia! NImekasirika! Kwa maana mnatazama hiyo sayari nyingine, lakini ni nini ilifanyika na sayari Nimewapa sasa? Huh? Dunia inapuuzwa, ukiwa. Je, ni hilo NImewaita kufanya? Kuziangamiza? Ee, lakini wengi sana wataangamizwa badala yake na sayari YANGU, sio kwa sababu sayari yenyewe ina roho ya kutenda kama vile mizungu inaamini, lakini kwa sababu NItakuwa Naita Nyota ZANGU kuchukua hukumu juu ya yote ambayo yamefanywa kwenye Sayari YANGU Dunia!

Kwa hivyo tubuni leo kwa kuamini vitofauti vyovyote! Kwa kuamini hakuna MUNGU, hili ni chukizo KWANGU! Shikeni mawazo yenu, shikeni mawazo yenu kwa nguvu KWANGU MIMI. NInatubu kwa kuwatengeneza ee wanadamu, lakini kwa sababu Najua EZRA Angezaliwa na 144,000 na 144,000 WANGU, halafu NInatuliza hasira YANGU. NIliregesha hukumu YANGU nyakati nyingi sana, nyakati nyingi sana katika historia zamani. Avrahamu aliNIsaidia kuregesha hasira YANGU, Haruni alituliza hasira YANGU baada ya toba yake kwa Israeli katika ile nchi ya jangwa.

Eh Israeli YANGU, NIrudie na ufanye kile Israeli ya zamani ilifanya! NIgeuzie MIMI moyo na macho yenu. Tazama na uone – Utakatifu wote na nchi Takatifu ambayo mara moja ilikuwa yako, sasa ni ukiwa na ni ya mwingine. Je, utatubu na uNIgeukie siku hii? Je, utafanya hivyo?

NInajua jawabu tayari. Na hiyo ndiyo maana lazima NIchukue BiArusi WANGU kwanza kabla ya mateso yoyote yanayokuja chini kwenye hii Dunia. Lazima NIpeleke BiArusi WANGU pahali salama kwanza.


Mwisho wa Neno

16 views0 comments
bottom of page