Unabii 22“Fuateni ile Njia ya Kale! Nyota za Milele! / Fungueni Malango ya Kale!”
Umepewa Nabii Hannah kwa Sifa, Heshima & Utukufu wa ELOHIM (MUNGU) Mbinguni
Umeandikwa 23 Februari, 2019
Ujumbe wa Kinabii
Kwa kweli mumeNIruhusu NIshike udhibiti leo, Watoto WANGU. NInapendezwa mnaporuhusu Mkono WANGU kugusa kila ya sehemu zenu zinazoweza kudhuriwa. Hata sehemu hamtaki wengine waone. Nyinyi ni wakweli KWANGU. Na NImependezwa. Sina Watoto bora zaidi, wala Kusanyiko bora zaidi ambalo kila wakati linafuata Mapenzi YANGU na Tamanio. NInawatakasa nyinyi nyote siku hii mnapoingia katika wakati WANGU kwa imani. Kila wakati mko katika Uwepo WANGU. Kila wakati mkitazama hatua YANGU. Mnataka kujua pale NInaenda, hatua YANGU inayofuata iko wapi ili muweze kufuata.
NInafurahia kupita kiasi, Watoto WANGU! Je, mnaweza hisi msisimko wa Mbinguni? Ee, Dunia inatetemekea msisimko WANGU! NInakanyaga chini kama mtoto mdogo NIkingojea BiArusi WANGU anayependeza kabisa ili ni NImtazame. YEYE ni Kito CHANGU, Tunu YANGU ya zamani. Sitawahi Kusahau, wala yeyote wenu.
NIthamini siku hii, fuata njiia YANGU ya zama za mamilioni, ni Njia ya Zamani mtakayofuata. Mmeheshimu, pembe YANGU, Mheshimiwa na MTOTO WANGU EZRA Anayependeka. Si wengi wameona uso WAKE au kuhisi kuwepo KWAKE kama mnavyohisi sasa. Anahisi YUMO ndani ya kila mioyo yenu na pamoja na kila mmoja wenu. Sisemi Anajua kile kimo ndani ya moyo wenu, lakini kwa sababu mnaMthamini sana, Anahisi pale Anastahilika.
NIliMchukua kutoka kwa wale ambao tena hawaMheshimu, Torah YANGU ya zamani [imetolewa kutoka kwao]. Wangapi hawatawahi muona tena kwa sababu hawakuthamini kile NImewapa. Sipeani mara kwa mara, pia Sichukui mara kwa mara. Wakati tu NImesikitishwa pakubwa kabisa. Na huo ulikuwa huo wakati.
Sileti kwa urahisi zawadi ZANGU na vito VYANGU kwa mamilioni kudhihakiwa. Lakini ni kwa wakati na kusudi kujaribu moyo wa wanadamu. Watarithi uzuri WANGU ikiwa wataamini Maneno YANGU yaliyoandikwa na Vidole VYANGU Mwenyewe. NImetabiri kutoka kwa Wasemaji WANGU Unabii zinazoweza kuhimili zama za mamilioni. Ni Maneno kutoka kwa kinywa CHANGU. NImenena, NImeonyesha Utukufu WANGU! Kila siku NIshukuru kwa Jua mnalo linalowaletea uvuguvugu. Mwaweza waza ikiwa jua lisingetokea au kung’aa? Viumbe vyote vingekufa, vigande hadi kifo. Lakini NIliweka sayari ZANGU katika Ulimwengu vizuri tu, iko sawa tu. Zimesawazishwa kikamilifu.
Kila mmoja wenu sikizeni Maneno YANGU na Mwelekezo WANGU. Hakuna [hata] moja ambayo imetoka pahali pake, yote yako katika utaratibu. Mta-, kila mmoja wenu, kuwa na mamilioni watakaowafuata kuja KWANGU [muhtasari: sisi ni vidole vinavyoelekeza watu kwa YAHUSHUA]. Watatambua upako na MIMI ndani yenu. Hii ni ya Milenia [Miaka elfu ya YAHUSHUA kutawala duniani]. Ahadi ya Milenia kwamba NItawatumia pakubwa sana! Msifikiri tu kwamba wito wenu unaisha kwenye hii Dunia! Je MIMI siYE mwanzo na mwisho? Na KWANGU MIMI, hakuna mwisho! Hakuna mwisho kwa Watoto WANGU wapendwa! Mtaimba zaidi, angaza zaidi, NItukuza zaidi. Yote kwa Kusudi na Utukufu WANGU.
Furahini siku hii, NIlipowakemea kutoka Mbinguni. Toba ni nzuri kwa nafsi yako, ni dawa nzuri. Usiwahi ogopa kutubu mbele ya umma. Sifa yako iko bora na MIMI kuliko kwenye hii dunia iliyobuniwa, iliyojaa uwongo na hila. Wangepiga makofi mikono yao unapokuwa muwazi, lakini wakudhihaki kwa uovu nyuma ya mgongo wako. Oh, walivyopotoka.
Ee mkora Hillary Clinton, maisha yako yamo mkononi MWANGU. Tauni ya damu nyeusi inayochemka na kansa utateseka. Inangoja tu wakati WANGU ili idhihirike.
Nyota, nyota, NIangazieni. Njooni kwa kifua cha PAPA ili NItazame urembo wenu. Hakuna bandia, bandia NIlitupa.
Mwisho wa Neno
Ujumbe wa Kinabii
(Fungueni Malango ya Zamani!)
(Kufunga Shabbat wakati wa Sherehe ya Havdalah Jumamosi jioni, tuna maombi ya kufungua Malango Matakatifu kutoka Mbinguni kuanza wiki yetu ya kilimwengu, nilisikia YAH Akisema tulipokuwa tunarudia ombi hilo...)
Malango yote ya Zamani mtapita, kama vile NImeamuru kwa kila mmoja wenu. Yale Malango ya Zamani ni Malango mababu wamepitia. Malango ya Ushindi kwenu. Malango ya Kujazwa tena, Kutegemezwa. Ni kile mnapaswa kushika kila siku. Ombi hilo ni zuri kwa kila siku! Maana mnahitaji Malango YANGU ya Huruma yafunguliwe kila siku! Kuna maarifa mengi na hekima nyingi ndani yake, bado tu hamuwezi fahamu yote.
Akili ya kibinadamu ina kikomo, lakini mnaporudi hamtakuwa na kikomo tena. Mnaashiria mambo mengi kwa sehemu nyingi za Mwili kote duniani. Na pia wanawafanyia vitu pia. Kila Mwili WANGU ni Tunu, ni Kito KWANGU MIMI. Kama vile Mwili WANGU umefunikwa kwa vito – na WEWE, EZRA, Utafunikwa pia, vito vya Watoto WAKO vinapoKUfunika na wale wanaopigana kando YAKO na ni waaminifu KWAKO na KWANGU. Wao ni BiArusi WANGU. Na Unawaleta KWANGU, MWENYEZI MUNGU wa Milele, YAHUVEH.
Kila moja ya masikio yao hayajazibwa, lakini yako tuni naMI. Hiyo ndiyo maana NInaweza zungumza Neno baada ya Neno. Sijawahi barikiwa na kazi yote nzuri NInaweza timiza katika mwili mmoja, akili moja, roho moja, Ukweli mmoja.
Nyinyi nyote bakini waaminifu kwa kila mmoja wenu, kuweni tegemezo bora kabisa kwa kila mmoja wenu. (YAHUSHUA Anatabasamu) EZRA WANGU Anajua hili vyema sana.
Hajawahi saliti, na hapangi kamwe kuwahi kufanya [hivyo]. Kwa hivyo NInaMtumaini na Vifunguo VYANGU 7. Moyo WAKE umejazwa sana na MIMI. EZRA WANGU! Wengi ni Watoto WAKE. Wanainuka pamoja naYE NInapobadilisha walinzi WANGU.
Kwa hivyo NInapeana upako wa kutabiri kwa mwengine, kwa neema zaidi, ili wao – Watoto WANGU – wawe na mahali pa kusikia Neno LANGU. (YAHUSHUA Ana machozi machoni MWAKE) Kamwe kabisa SItelekezi Watoto WANGU na kamwe SIwawachi! Na YEYE (EZRA) Hawaachi Watoto WAKE mikono mitupu. Aliwapa urithi, urithi ulioheshimiwa sana Mbinguni na almasi nyingi. Ni urithi utakaopitishwa chini milele na milele. Hata baada ya Dunia imeenda, takaswa, kumbukumbu hiyo itasimama milele na milele kando ya Amri ZANGU Kumi. Ni yule ambaye MIMI MFALME NImeheshimu. Milele na zaidi!