top of page

Unabii 7 “MIMI ni YESHUA, MPENDWA Wako, na BABA YANGU Anakungoja!”

Updated: Mar 23

Umepewa TORAH KEEPER kwa sifa, Heshima & Utukufu wa ELOHIM (MUNGU) Mbinguni


Umeandikwa 22 Januari, 2019

Ujumbe wa Kinabii



Nyayo za wacha MUNGU! Baki kwenye njia adili. Ee kila mtu, songeni mbele! Naita Vinara VYANGU 7 vya Dhahabu vya Taa. Naita Watoto WANGU waliotiwa mafuta! Inukeni, Inukeni na mlinde! Ombeni, ombeni usiku wa leo! Ombeni na muwe Takatifu na mkiri mmoja kwa mwingine dhambi zenu. Kuweni wazi. Msikome. Adui anaogopa hili na anataka nyote muangamizwe.


NIimbie sifa. Niimbie. NAkupenda, ee Mpendwa WANGU. Siku moja utaona na haiko mbali, ee karibuni sana.


MIMI ni YESHUA, Mpendwa wako, na BABA YANGU Anakungojea. Ee cheza dansi naMI Mpendwa WANGU, imba wimbo mpya. Kuwa WANGU, kuwa WANGU! Wewe ni WETU na TUnateketea na uchu mkali kwa ajili yako! Wewe ni wimbo WETU wa mapenzi na pamoja nawe TUtashiriki milele!

Kwa hivyo usiku wa leo, NIkumbuke na NIabudu na imba NAMI wimbo mpya!



Mwisho wa Neno

5 views

Recent Posts

See All
bottom of page