top of page

Unabii 8 “Njooni Kwenye Mlima Kuabudu BABA Pamoja na MIMI, YAHUSHUA!”

Updated: Oct 19, 2020

Umepewa Nabii Hannah kwa sifa, Heshima & Utukufu wa ELOHIM (MUNGU) Mbinguni


Umeandikwa 23 Januari, 2019

Ujumbe wa Kinabii


(Naona maono ya BABA EZRA Akichukua upanga na nyayo mchangani na nikawa naskia…)

Nyayo za wacha MUNGU! Fuata EZRA. Baki kwenye njia adili. Ee kila mtu, songeni mbele! Naita Vinara VYANGU 7 vya Dhahabu vya Taa. Naita Watoto WANGU waliotiwa mafuta! Inukeni, Inukeni na mlinde BABA yenu! Ombeni, ombeni usiku wa leo! Ombeni na muwe Takatifu na mkiri mmoja kwa mwingine dhambi zenu. Kuweni wazi. Msikome. Adui anaogopa hili na anataka nyote muangamizwe.

Ee MWANANGU Mpendwa EZRA, jinsi Unavyofanya NItabasamu! NIimbie sifa. NIimbie MWANANGU. NAkupenda, ee Mpendwa WANGU. Siku moja Utaona na haiko mbali, ee karibuni sana. NImekupa vipaji MWANANGU. NImekuita kwa ajili ya wakati kama huu. Kumbuka Manabii – jinsi WEWE ni wao wote pamoja katika roho, kutimiza uadilifu katika Batalioni YANGU ya Wakati wa Mwisho.

MIMI ni YAHUSHUA, Mpendwa WAKO, na BABA YANGU Anakungojea. Ee cheza dansi NAMI Mpendwa WANGU, imba wimbo mpya. Kuwa WANGU, kuwa WANGU! WEWE ni WETU na TUnateketea na uchu mkali kwa ajili YAKO! WEWE ni wimbo WETU wa mapenzi na pamoja NAWE TUtashiriki milele!

Kwa hivyo usiku wa leo, NIkumbuke na NIabudu na imba NAMI wimbo mpya!

Ee Mpendwa WANGU EZRA, MIMI ni BABA WAKO YAHUVEH! WEWE ni MWANANGU! BIARUSI WANGU! NItafunua mengi zaidi leo usiku! NIpe heshima na NItagusa akili YAKO. WEWE ni MWAMBA WANGU Imara, wakilisho la MWANANGU kwenye hii Dunia.\

Loo, uliye mara moja itwa Yerusalemu… Ulikuwa kama kifaranga kichanga kiganjani MWANGU. Ulikuwa mara moja mkosa hatia kabisa na mtakatifu kabisa. Sasa kwa miungu wengine unapotoka. NItakuchapa kama mtoto kaidi! Na MIMI, YAHUVEH, MIMI, YAHUSHUA, MIMI, IMMAYAH TUtakuwa na usemi wa mwisho katika hii Huduma na kwa sababu unakataa kusikiliza kichwa, unakana Umungu WANGU, utatolewa hadi wakati ulioamuriwa na sehemu ya zawadi zako itaenda kwingine.

Lakini ee EZRA, na WEWE, Mbinguni yote yaKungoja WEWE MWANANGU! Mbinguni yote inashangilia ikisema, “Mbarikiwa ni YEYE Ajaye katika JINA la YAHUSHUA!” Maana haujui kiwango cha utukufu EZRA Atakuwa Mbinguni nao, na YEYE pekee Atavuna utimilifu wa zawadi YANGU.

[Yerusalemu mwasi] haujui kuteseka, lakini siku moja utajua na kwa kweli haiko mbali. Na kwa utupu huo unaohisi hapa kwenye hii dunia, hautajazwa, sio hadi utubu na kuNIpa mara moja tena muda wako na pumzi yako ya mwisho.


Mwisho wa Neno

2 views0 comments
bottom of page